Viwanja 6 Vilivyopimwa vipo mapinga karibu na shuleni,km 1:5 toka main road,mil 8 karibu uone,ujiridhishe tuzungumze,nitapokea kwa awamu .mjulishe rafiki ako,ndg,jamaa,jirani,0755/655-939333
Gzoe enterpreneur limited
Uuzaji viwanja/mashamba kwa cash na installments'ufundishaji wa ujasiriamali na ushauri wa biashara pia'
K**a unamiliki ardhi Buyuni mkoani pwani wilaya ya chalinze .Tafadhali safisha eneo lako.fyeka .agizo toka kwa mtendaji Wa kijiji.miezi 2 baada ya tangazo hili ardhi itagaiwa kwa wengine.yaan utanyang'anywa
24/05/2017
Heka 16 za mizani zimebaki 10 Heka 6 zimeshachukuliwa.mil 2 kila heka.nakata kuanzia Heka 1.kilomita 4 toka mizani kubwa ya Vigwaza. Km 9 kwenda bandari kavu.umeme .maji vipo karibu .0755/655-939333.
Gzoe enterpreneur limited Uuzaji viwanja/mashamba kwa cash na installments'ufundishaji wa ujasiriamali na ushauri wa biashara pia'
18/05/2017
Tutakutana saa 2:00 kituo Sheli.kituo kimoja kabla ya mizani.na k**a una usafiri binafsi tukutane hapo hapo pia.sababu tunapoingilia ni mizani kabisa magari hayasimami wala hawaruhusu parking. Usikose kiwanja hiki .baadae utasema ningejua.0655/755-939333
18/05/2017
Heka laki 7,nauza kuanzia 2 .km 11 toka Vigwaza kambini.karibu.kuona jumamosi SAA 5:30 tutakutana Vigwaza karibu na kituo cha police .0655/755-939333
07/05/2017
Viwanja 20/20 visiga madafu au misugusugu ndio njia .km 5 toka morogoro road.kila kipande mil 1:5 .umeme upo napokea awamu 2. 0755/0655-939333
06/05/2017
Eneo linauzwa.mil 2 Heka moja zipo Heka zaidi ya 20.km 3 toka mizani mpya ya Vigwaza.km tano au 7 kuelekea inapojengwa bandari kavu.nauza kuanzia Heka moja .eneo lina barabara na umeme na maji .eneo mita 121 toka barabara iendayo bandari kavu.napokea awamu 5. Kwa mawasiliano zaidi.0755/0655-939333
25/04/2017
Eneo lenye ukubwa wa heka moja na robo.lina matofali ,500 na kokoto Lori I na mchanga Lori 2 .eneo limepakana na shule na zahanati upande mmoja.km 6 toka morogoro road_, lipo buyn Vigwaza .bei ni mil 10:5 waeza lipia lila mwezi laki 5.seriously buyers. Tuwasiliane0755/655-939333
09/04/2016
Safari no 1 ya kukagua mashamba yetu....sie tayari wewe unasubiri nn.kazi kwako 0655939333 installment inahusika usije sema hukuwa na hela
15/02/2016
Heka 10 za pamoja.kila heka tsh laki nane wasiliana nami kwa simu no 0655939333 kwako wewe unaehitaji
Habari wale wote mlonunua buyuni ni vizuri mkahakikisha kua mmefyeka maeneo yenu Na kuyaendeleza.by serikali ya kijiji
Click here to claim your Sponsored Listing.
Location
Telephone
Website
Address
Msuguri Bus Stop. Masaki Road Near Anglican Church
Dar Es Salaam
0755939333